Create your custom sustainability policy in minutes — free for a limited time

Get Started →
Generate your sustainability policy

National Environment Management Council (NEMC) - Tanzania

Type

NGO

Country

Tanzania

Last Update: February 18, 2023

About us

Baraza la Taifa la Hifadhi na Usimamizi wa Mazingira (NEMC) lilianzishwa kwa Sheria ya Taifa ya Usimamizi wa Mazingira Na. 19 ya mwaka 1983 kama chombo cha kuishauri serikali juu ya masuala ya utunzaji endelevu wa mazingira. Baraza lilianza kazi rasmi mwaka 1986. Sheria Na. 19 ya mwaka 1983 ilifutwa mwaka 2004 na Sheria ya Usimammizi wa Mazingira Na. 20 ya mwaka 2004 (Sura 191) ambayo ilianzisha Baraza kwa mara nyingine. Sheria hii mpya ililipa Baraza nguvu ya kisheria ya kusimamia hifadhi ya Mazingira nchini

contact

location

Regent St, Dar es Salaam

Create your sustainability policy today

Our free sustainability policy generator turns your website details into a tailored company sustainability policy
for small businesses or enterprise teams in under three minutes.

Generate my free policy