National Environment Management Council (NEMC) - Tanzania
Type
NGO
Country
About us
Baraza la Taifa la Hifadhi na Usimamizi wa Mazingira (NEMC) lilianzishwa kwa Sheria ya Taifa ya Usimamizi wa Mazingira Na. 19 ya mwaka 1983 kama chombo cha kuishauri serikali juu ya masuala ya utunzaji endelevu wa mazingira. Baraza lilianza kazi rasmi mwaka 1986. Sheria Na. 19 ya mwaka 1983 ilifutwa mwaka 2004 na Sheria ya Usimammizi wa Mazingira Na. 20 ya mwaka 2004 (Sura 191) ambayo ilianzisha Baraza kwa mara nyingine. Sheria hii mpya ililipa Baraza nguvu ya kisheria ya kusimamia hifadhi ya Mazingira nchini
contact
website
location
Regent St, Dar es Salaam